Sunday, September 14, 2014

MADRID CHALI YALAMBWA 2 -1 BERNABU

Atletico Madrid
 
Atletico Madrid imepata ushindi na kulipiza kisasi cha kufungwa na Real Madrid  katika ligi ya Mabingwa ulaya baada ya kuwafunga katika uwanja wao wa nyumbani wa Santiago Bernabeu . 

Mabingwa watetezi wa La Liga  Atletico walipata Goli  la kuongoza katika Dimba la Bernabeu wakati  Tiago alipofunga kwa kichwa kwa mpira wa kona  . 

Cristiano Ronaldo,alifunga goli la kusawazisha akitokea kwenye majeruhi  kwa penati , na kuifanya Madrid kusawazisha  .

lakini Atletico, ambao walijitahidi kukabiliana na kelele za mshabiki wa Real , walishinda mechi hiyo kwa goli lililofungwa na  Arda Turan’s . 
 
www.2dayhabari.blogspot.com
free website counter

0 comments: