Thursday, August 28, 2014

MCHEZAJI BORA WA ULAYA NI CHRISTIAN RONALDO



Busu kwenye tuzo:Nyota wa ureno na real madrid,christiano ronaldo akibusu tuzo ya mwanasoka bora wa ulaya baada ya kukabidhiwa usiku wa leo mjini monaco,ufaransa

christiano ronaldo akifurahia ana tuzo yake

Ronaldo(katikati)akifurahia baada ya kushinda ,kushoto ni wachezaji wa beyern munich,kipa mjeruma manuel neuer na winga mholanzi Arjen Robben kulia


0 comments: