Huyu Ndio Miss Tanzania 2014 Aliyepatikana Jana Usiku, Ni Mtoto wa Mbunge
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Huyu ndio mshindi wa Redds Miss Tanzania
mwaka 2014. Anaitwa Sitti Mtemvu ambaye ni mtoto wa Mbunge wa Temeke,
Amejinyakulia zawadi ya Shiling Milion 18 za Kitanzania.
0 comments: