SAGUDA AKABIDHI MALI ZA RECHO UKWENI
ALIYEKUWA mchumba wa marehemu Rachel Haule ‘Recho’, George Saguda amesema ameamua kupeleka mali zote za marehemu kwa ndugu zake ili wao wajue utaratibu wa kuzitumia.
ALIYEKUWA mchumba wa marehemu Rachel Haule ‘Recho’, George Saguda amesema ameamua kupeleka mali zote za marehemu kwa ndugu zake ili wao wajue utaratibu wa kuzitumia.
“Marehemu Recho nilikuwa nikiishi naye kama mke wangu lakini mali zake zote nimeshazikabidhi kwa ndugu zake kwa sababu wao ndiyo wanaohusika na suala zima la mirathi endapo kutakuwa na ulazima wa kunishirikisha basi wataniambia,” alisema Saguda.
www.2dayhabari.blogspot.com
0 comments: