MAN U ACHA SHETANI LAZINDUKA LAUA 4 SIFURI
MAN U ACHA SHETANI LAZIND
- United imeshindaa mechi ya kwanza ikiwa na Van Gaal reign
- Mchezaji wa mkopo Falcao Aanzia kwenye Benchi
- Di Maria na Herrera wamefunga magoli yao kwanza Leo
 Manchester
 United imepata ushindi wa kwanza katika msimu huu na kuifunga timu ya 
QPR iliyoonekana kuwa dhaifu katika Dimba la Ancient Trafford. 
              
   
  Mchezaji aliysajiriwa kwa Bei mbaya zaidi  Angel di Maria alioneka 
kuwa mchezaji bora zaidi katika mechi hiyo pale alipopiga mpira wa 
adhabu Ndogo na kwenda mbali kidogo kwenye kona . 
              
     Ander Herrera alifunga katika dakika ya 36 na baadae rooney akafunga kablaya kwenda mapumziko .
              
   
  Juan Mata naye aliipatia United goli la Tatu kabla ya  akipokea pass 
kutoka kwa Di Maria’s Radamel Falcao Aliingia kipindi cha katika dakika 
ya  67.
 Mpaka mpira unakwisha Man u imeibamiza QPR goli nne bila na Di maria amekuwa Man of Match  
free website counter
www.2dayhabari.blogspot.com 
 
 
 
0 comments: