Tuesday, September 30, 2014

Kenya Yapaa Kiuchumi na Kuwa Katika Nchi za Uchumi wa Kati

Kenya imezidi kuimarika ki uchumi na kujikuta inahama kutoka nchi maskini na kuwekwa kundi la nchi zenye uchumi wa kati duniani na hivo kujikuta inakuwa miongoni mwa nchi 4 zenye uchumi imara kusini mwa jangwa la sahara.

0 comments: