Friday, August 29, 2014

WANANCHI WANAPOAMUA KUWEKA ALAMA ZA HATARI BARABARANI

 Hii ndiyo alama ya mti iliyowekwa na watumiaji wa barabara ya Kariakoo-Sinza.
Gari likipita karibu na chemba iliyowekwa alama na…

Gari likipita karibu na chemba iliyowekwa alama na wananchi.
KUTOKANA na kutokuwepo  vifaa maalum vya barabarani  pindi  panapotokea matatizo, watumiaji wa barabara ipitishayo magari ya kwenda stendi ya Makumbusho hadi  Kariakoo,  kupitia Sinza, jijini Dar, wameamua kuweka alama ya mti baada ya chemba moja ya maji machafu iliyopo katikati ya barabara kuwa wazi kwa muda mrefu pasipo kuwa na alama maalum.
Na Gabriel Ng’osha/GPL
Hii ndiyo alama ya mti iliyowekwa na watumiaji wa barabara ya Kariakoo-Sinza.

Gari likipita karibu na chemba iliyowekwa alama na wananchi.
KUTOKANA na kutokuwepo  vifaa maalum vya barabarani  pindi  panapotokea matatizo, watumiaji wa barabara ipitishayo magari ya kwenda stendi ya Makumbusho hadi  Kariakoo,  kupitia Sinza, jijini Dar, wameamua kuweka alama ya mti baada ya chemba moja ya maji machafu iliyopo katikati ya barabara kuwa wazi kwa muda mrefu pasipo kuwa na alama maalum.

0 comments: